Fahamu zaid juu ya Afya- magonjwa, tiba na ushauri. Pia pata elimu sahihi ya ujasiriamali

Monday 18 April 2016

BIDHAA TIBA LISHE

 TIBA LISHE  ZISIZO NA KEMIKALI ZA VIWANGO VYA KIMATAIFA ZILIZOSAJILIWA RASMI TANZANIA NA TFDA 

GANODERMA SPORE CAPSULE
Huongeza kinga ya mwili.

Huzuia saratani.

Huponyesha haraka vidonda baada ya operesheni.

Hupunguza makali ya matibabu ya saratani.

Huponya na huzuia kikohozi kinachotokana na pumu.
SOY ISOFLAVONE CAPSULE
Huwa na wingi wa Isoflavone ambayo ni muhimu
Katika usawazishaji wa homoni kwa wanawake.
Huzuia saratani ya shingo ya uzazi na matiti.
Huzuia kuzeeka haraka na ufanya ngozi kuwa laini.
Haina madhara kwa mwili.
Huondoa matatizo ya homoni zisizofanya kazi vizuri(menopausal syndrome).
OCEAPLUS CAPSULE
Husafisha na uongeza utenda kazi wa figo.
Huongeza nguvu za kiume.
Huongeza namba ya mbegu za uzazi za kiume.
Husawazisha mzunguko wa damu kwenye uume.
Huangamiza bakteria na haina madhara kwa mwili.
GINSENOSIDE CAPSULE
Huzuia kusambaa kwa saratani za aina zote.
Huongeza chembe chembe hai nyeupe kwa siku 2-3 baada ya kutumia.
Husaidia vidonda kupona.
Huongeza kinga kwa mwili.
Huondoa mavimbe ya aina yoyote.
SPIRULINA TABLETS
Huwa na virutubisho muhimu kwa mwili mfano gramu moja(1g)
ni sawa na kilo moja(1kg) za mboga na matunda.
Spirulina uwa na protini muhimu kwa mwili.
Huponya vidonda vya ngozi na tumbo.
Husaidia afya ya watoto.
Huongeza kinga ya mwili.
MILK CALCIUM TABLETS
Calcium ni muhimu sana kwa mwili wa mwanadamu.
Nzuri kwa wakubwa,watoto na hata wajawazito.
Hupunguza acidi mwilini.
Hutia mifupa nguvu.
Huzuia ricket(matege) kwa watoto.
Hunyoosha misuli.
GINKARDIO TABLETS
Huimarisha mzunguko wa damu katika ubongo.
Huimarisha upitishai wa damu katika mishipa.
Husaidia akili kuwa timamu na uongeza kumbukumbu.
YONG CORDYCEPS
Husafisha mapafu,figo na ini.
Huongeza kinga mwilini.
Huondoa sumu mwilini.
Huboresha upumuaji.
Hupunguza makohozi.
Huzuia kansa na vimbe.
Huboresha mishipa ya damu na mzunguko wa damu.
BOLIDA CAPSULE
Chakula bora cha neva
Huboresha mzunguko wa damu na utuliza akili.
Inaongeza kumbukumbu ni nzuri kwa wanafunzi,wanaochoka na
Wenye wasiwasi na kukosa usingizi.
Bora kwa ubongo na akili.
AMARRHEA CAPSULE
Inazuia kuharisha kunakotokana na virusi,bakteria,parasite,fangasi na sumu.
Inatibu aina zote za fangasi katika mwili.
Inafaa sana kwa wasafiri,wagonjwa wenye kuharisha mara kwa mara.
ANDYBETE
Husawazisha kiwango cha sukari mwilini.
Huzuia uharibifu wa mwili unaotokana na kisukari.
Huondoa sumu mwilini.
Huzuia makali yanayosababishwa na kisukari.
BISLIM
Huondoa sumu mwilini.
Hupunguza mafuta mwilini.
Inapunguza unene
Inaondoa mavimbe
Inasaidia utenda kazi wa mwili.
ALOE SOFTGEL CAPSULE
Inasafisha tumbo.
Nzuri kwa vidonda vya tumbo.
Huondoa sumu mwilini.
Huua viini na vijidudu tumboni.
Huondoa gesi tumboni.
LYCOPENE SOFTGEL CAPSULE
Huongeza ongezeko la chembe chembe hai katika mwili.
Huongeza kinga ya mwili.
Huzuia vimbe mbalimbali.
Huondoa sumu mwilini.
SEABUCTHORN JUICE POWDER
Huondoa sumu mwilini
Hupatia mwili lishe muhimu(Amino acidi)
Houndoa uchovu
Ni kinywaji lishe bora
GOLDEN OYSTER CAPSULE
Inaimarisha kinga mwilini
Inapunguza mafuta kwenye damu
Inasaidia mgonjwa anayesumbuliwa na tatizo la ini,
Inaondoa mafuta kwenye ini,
Inasaidia utengenezwaji wa energy kwenye ini,
Inaimarisha ini,
Inazilinda seli za kwenye ini
Inaondoa uvimbe kwenye ini 

Share:

0 comments:

Post a Comment

Health & Business Consultant Francis Kulwa has been added to your page

TOTAL PAGE VIEWERS

Live Traffic Feed

Health & Business Consultant Francis Kulwa

INSTAGRAM

Instagram
francis kulwa. Powered by Blogger.

Recent Posts

Unordered List

Theme Support